NAITWA ELIBARIKI NGOWO FROM BABATI MANYARA NI MFANYABIASHARA MDOGO MJINI MAGUGU.
pamoko...saNAAaaaaaaaa
mmiliki wa blog www.theboss-michael.blogspot.com
Love is not buying and selling like business.
Zaki.
Cheque my pic while nachakalika.
Napenda Wote.
Raaaaaa-Raaaaaaa ni Wa- hapahapa au sio mzeiyaaa.
-.
Napenda Kumfaham.
Easy Guyz.
Tutakuwa pamoja kupitia wahapahapa.
Smarter.
Yusuph Kilima.
Ni Miongoni mwa wasanii wakongwe wa hip hop ragga,kipindi alipokuwa kiongozi wa kundi lililojulikana kama Wamikosi. kwa hivi sasa yuko wilayani Nachingwea anajipanga mpaka sasa hajafika mjini,lakini yuko mbioni.
Mi ni nouma.
mimi niwa hapahapa.
Mimi ni wahapahapa no bud ger me out.
MIMI PIA NI WA HAPAHAPA.
maeneo ya kazini ni hapahapa.
kijijini mambo siyo kabisa.
SITOKI HATA KWA GREDA MI WA HAPAHAPA.
na mm ni wahapahapa ingawa kwe2 mbagala.
yoh! na cc wazenji ni wahapahapa!!!!
mimi ni wahapahapa sipo mbali jamani ukimwi unachinja.
Namimi nimo KiBOYA.
Kwetu ni Hapa Hapa.
sioni mbali ni hapahapa.
Mimi ni wa hapahapa ila huku kwa mda tuu!!!!!!!
NAMI NI WAHAPAHAPA WAJAMENI,,,,TAKE CARE UKIMWI *NOMA.
Najalibu kutafakali hawa wahapahapa wana vyo nikamata kisikiliza kipindi.
Ofisini mambo siyo kabisa!!!!!!!
niwahapahapa!
MPO JUU ILE MBAYA.
Mwanenu mwenyewe kama mnionavyo niko hapahapa nabalizi au sio...
WAHAPAHAPA.
We are together for preventing new infection of HIV/AIDS disease (TRCS/TWC kigoma).
mi napenda kulala kama inavyoonekana kwa 4to.
Weeeee acheni tu! 2010 raha na wahapahapa tu.
ndo natoka kuchukua shilingi elfu nne yangu..kwenye mgao wa mauzo ya nchi yangu.
TUJIEPUSHE NA FATAKI.
mimi na madogo zangu full kujiachia ndani ya gradu ya dogo letu edie.
Mambo watazamaji sisi niwa hapahapa kama massanja mkandamizaji.
Naendeleza fani hapa China.
Tumependeza jamani, its me and my lovely one.
i like to live the way i want not the way people want, got it????
FULL SMILE au VIPI MAZEE?
Namimi ni wa humuhumu!
Tuko pamoja!
you can see me in my blog www.scattersanga.blogspot.com
We are together ladies and gents.
Robert Buberwa.
Hey, am Abdul or Abby and i love you all.
Nipo kikazi zaid,wale wote wanaonisema mimi nawapotezea.
my name is shaqwil mohamedy i come from kimara kingongo Dar es Salaam.
My name is Jamal Ally Mnyanga of Kimara dar es salaam,I'm a class 4 student at Pilgdims school of academic here at Kimara. My dad is An Electrical Engineer at a very famours institution here in TZ.
Mwanzo mwisho burudan co kifan.
My real Name is Edmund Pius Barongo Am staying in Dar es salaam, am pleased with ur work to defend the community or society, may God give you wisdom and power to continue to do so.
tumependeza jamani eehhh!!!!
Inapendeza kuona hata watoto wanapata habari kuhusu Fataki. Wataalamu wanasema ukitaka kubadili jamii anza na watoto, wanafundishika kirahisi. Kuna msemo unasema, "Huwezi kumfunza mbwa mzee mbinu mpya za kukamata mwizi!". Picha hii nilipiga siku kombe la dunia lilipoletwa pale katika uwanja mpya wa Taifa.